For faster navigation, this Iframe is preloading the Wikiwand page for Maandishi.

Maandishi

Sanamu ya mwandishi (Misri ya Kale).
Mitindo ya maandishi duniani
buluu: alfabeti ya Kilatini; kibichi: alfabeti ya Kiarabu; nyekundu: Kikirili; njano: mwandiko wa Kichina; kichungwa: miandiko ya Kihindi.

Maandishi (pia: mwandiko) ni tendo la kushika sauti za lugha kwa njia ya alama zinazoandikwa.

Mitindo ya miandiko

[hariri | hariri chanzo]

Sehemu kubwa ya maandishi duniani inatumia alfabeti mbalimbali. Kati yake alfabeti ya Kilatini imesambaa zaidi, ikifuatwa na alfabeti ya Kiarabu na alfabeti ya Kikirili.

Asia ya Mashariki imeendelea kutumia maandishi yake ya alama zinazodokeza neno lote badala ya herufi tu. Mtindo wa kutumia alama kwa neno lote ulitumiwa pia katika utamaduni wa Misri ya Kale na Meksiko ya Kale.

Miandiko ya Uhindi, inayotokana na mwandiko wa Brahmi, hutumia miandiko mbalimbali inayoonyesha silabi. Hata lugha za Ethiopia hufuata mtindo wa kufanana nayo.

Historia ya maandishi

[hariri | hariri chanzo]

Hakuna hakika maandishi yalianza lini na wapi. Wataalamu wengi huona ya kwamba Sumer katika Mesopotamia ilikuwa na maandishi ya kwanza duniani.

Wengine huona ya kwamba sanaa ya kuandika ilianzishwa na watu mbalimbali kwa nyakati tofauti katika pande mbalimbali za dunia. Si rahisi kuwa na hakika kwa sababu maandishi yenyewe hudumu kwa muda tu kutegemeana na mata na vifaa vilivyotumiwa.

Maandishi penye mawe magumu tena penye hali ya hewa yabisi hukaa miaka elfu kadhaa. Kwa njia hiyo tuna ushuhuda wa maandishi ya mapema hasa kutoka nchi kama Mesopotamia, Misri, Bara Hindi na China. Lakini hatuwezi kukana uwezekano wa maandishi yaliyotumia mata kama magome ya miti yanayooza haraka hasa katika mazingira yenye mvua nyingi.

Watu waliandika juu ya miamba, vigae vya mwandiko wa kikabari, bao za nta, kitambaa, ubaoni au mabati ya metali mbalimbali. Mainka wa Peru walitumia mwandiko wa mafundo kwenye kamba.

Kati ya mata zote za kutunza maandishi ni hasa karatasi inayotumiwa zaidi leo. Ilibuniwa China ilipojulikana mnamo mwaka 100 BK na kusambaa polepole barani Asia halafu Ulaya.

Siki hizi maandishi ya elektroniki yamesambaa pamoja na matumizi ya tarakilishi na mtandao.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
{{bottomLinkPreText}} {{bottomLinkText}}
Maandishi
Listen to this article

This browser is not supported by Wikiwand :(
Wikiwand requires a browser with modern capabilities in order to provide you with the best reading experience.
Please download and use one of the following browsers:

This article was just edited, click to reload
This article has been deleted on Wikipedia (Why?)

Back to homepage

Please click Add in the dialog above
Please click Allow in the top-left corner,
then click Install Now in the dialog
Please click Open in the download dialog,
then click Install
Please click the "Downloads" icon in the Safari toolbar, open the first download in the list,
then click Install
{{::$root.activation.text}}

Install Wikiwand

Install on Chrome Install on Firefox
Don't forget to rate us

Tell your friends about Wikiwand!

Gmail Facebook Twitter Link

Enjoying Wikiwand?

Tell your friends and spread the love:
Share on Gmail Share on Facebook Share on Twitter Share on Buffer

Our magic isn't perfect

You can help our automatic cover photo selection by reporting an unsuitable photo.

This photo is visually disturbing This photo is not a good choice

Thank you for helping!


Your input will affect cover photo selection, along with input from other users.

X

Get ready for Wikiwand 2.0 🎉! the new version arrives on September 1st! Don't want to wait?