Balozi wa Papa
Balozi wa Papa ni askofu mkuu ambaye anamwakilisha Ukulu mtakatifu katika nchi fulani au nchi kadhaa au muundo wa kimataifa kuhusu mambo ya ndani ya Kanisa Katoliki lakini pia ushirikiano na serikali na jamii nzima.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- List of all Apostolic Nunciatures and Apostolic Delegations by Giga-Catholic Information
- Nuncio from the Catholic Encyclopedia and elsewhere
- CatholicHierarchy
Text is available under the CC BY-SA 4.0 license; additional terms may apply.
Images, videos and audio are available under their respective licenses.